More Information
ISBN: 9781783687466
Imprint: One-Volume Commentaries
Format: Hardback
Edition: 1
Dimensions (mm): 235 x 188 x 46
Publication Date: 14/12/2019
Pages: 1824
Language: Swahili

Ufafanuzi wa Biblia Katika Mazingira na Utamaduni wa Kiafrika

£49.99

Kitabu hiki cha Ufafanuzi wa Biblia Katika Mazingira ya Kiafrika ni kitabu cha kipekee kuwahi kuchapishwa –maana ndicho cha ufafanuzi wa kwanza wa Biblia katika juzuu moja lililotolewa Afrika na wanatheolojia Waafrika ili kuyakidhi mahitaji ya wachungaji wa Kiafrika, wanafunzi na viongozi wa kanisa. Kwa kufasiri na kuzingatia matumizi ya Biblia katika mikutadha halisi ya utamaduni wa Kiafrika ulivyo sasa; kitabu hiki kinayaelezea Maandiko Matakatifu vizuri sana na kwa undani kwa njia bora zinazoafiki bara la Afrika kwa umuhimu wake.

Author Bios

Tokunboh Adeyemo
(Edited By)

Tokunboh Adeyemo was the executive director of the Centre for Biblical Transformation having served previously as general secretary for the Association of Evangelicals in Africa. He held a PhD from Dallas Theological Seminary as well as an honorary doctorate awarded by Potchefstroom University for his outstanding Christian scholarship and leadership.

Endorsements

Msingi wa maisha ya Kikristo ni katika kulifahamu kwa usahihi Neno la Mungu. Kanisa la Afrika linakua kwa haraka sana kuliko sehemu nyingine yoyote ulimwenguni. Lakini, linakosa kitabu chenye mafafanuzi katika lugha ambayo wengi wanaielewa. Upatikanaji was kitabu hiki cha Ufafanuzi wa Biblia Katika Mazingira na Utanaduni wa Kiafrika ni hatua muhimu sana ya kihistoria kwa Kanisa la Afrika Mashariki, na mahali penqine popote kinapozungumzwa Kiswahili.

Augustino S. L. Ramadhani
Jaji Mkuu wa Tanzania

Kwa muda mrefu Wakristo wanaotumia lugha ya Kiswahili wamekuwa wakisubiri kitabu cha aina hii. Lengo la kitabu hiki ni kumsaidia msomaji kuyaelewa Maandiko Marakatifu yaani Biblia kwa kina zaidi na kwa mtazamo wa mazingira na rutamaduni wa Kiafrika. Mifano iliyotumika kuielezea Biblia imetolewa kwa tamaduni mbalimbali za hapa Afrika. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake kilichoandikwa na wataalam wa Kiafrika na katika lugha ya Kiafrika. Kimeandaliwa kwa utaalamu mkubwa na kwa kina cha mawazo.

Rev. Canon Dr. Mkunga H.P. Mtingele
Kaitibu Mkuu
Chama cha Biblia cha Tanzania

Juzuu hili la kipekee ni ishara kuu ya kukua kwa Ukristo barani Afrika. Popore pale Biblia inapopendwa na kusomwa, kitabu hiki kitawasaidia watu kuielewa na vile kuishi kulingana na Maandiko Matakatifu.

Dr. Chris J. H. Wright
Mkurugenzi wa Kimataifa,
Langham Partnership Interational

Related Books

Related by Author

2